Nyalandu azungumzia kurejea jimboni kwake

Nyalandu akiwa na mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe pamoja na wanachama wengine.

Aliyekuwa Mbunge ya Singida Kaskazini kupitia (CCM) ambaye sasa ni kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Lazaro Nyalandu amesema kuwa hatarajii kurudi jimboni kwake na hajawahi sema kuwa ana nia ya kugombea nafasi yoyote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS