Serikali yaeleza kilichotokea kwa kujenga ukuta
Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi amesema uboreshaji na uendeshaji kwenye sekta ya madini kwa miaka mitatu umeleta mafanikio makubwa ikiwemo ongezeko la mapato kutoka bil. 201 kwa mwaka 2015/2016 mpaka bil. 302, kwa mwaka 2019.