Rushwa yatajwa, uvunjwaji vibanda Mwenge

Upanuzi wa barabara Mwenge ukiendelea baada ya vibanda kuvunjwa

Ikiwa upanuzi wa barabara ya Bagamoyo ukiwa unakwenda kwa kasi hivi sasa, wafanyabiashara wadogowadogo waliokuwa wakifanya biashara eneo la Mwenge jijini Dar es salaam, wameibuka na kulalamikia vitendo vya rushwa kuhusika katika uvunjwaji wa vibanda vyao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS