Bulaya amhoji Waziri kutobomoa nyumba ya kigogo
Mbunge wa Bunda Esther Bulaya amehoji juu ya kutobomolewa kwa nyumba ya kigogo mmoja wa Kinondoni jijini Dar es salaam bila kutaja jina la mtu huyo kwa kile allichokidai zoezi hilo lilipaswa kutekelezwa muda mrefu lakini halijafanyika.