Mkuu wa Vipindi wa East Africa Radio, Nasser Kingu.
Zaidi ya wanafunzi wa kike 5000, wanatarajiwa kupatiwa taulo za kike kwa mwaka mzima ili kuwasaidia kuendelea na majukumu yao kama kawaida ikiwemo kuhudhuria masomo pindi wanapokuwa katika kipindi cha hedhi.