Timu 8 za ligi kuu kushuka daraja leo Nembo ya ligi kuu soka Tanzania bara Kuelekea mechi za mwisho za ligi kuu soka Tanzania bara leo Mei 28, 2019, msimamo wa ligi unaonesha timu 8 zinaweza kushuka daraja itkitegemeana na timu inapata matokeo gani kwenye mechi yake. Read more about Timu 8 za ligi kuu kushuka daraja leo