Heche aiomba mahakama kuharakisha kesi ya Lissu
Makamu mwenyekiti wa cha Chama cha demokrasia na Maendeleo, John Heche, ameiomba mahakama kuharakisha mchakato wa kusikilizwa kwa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu.

