Usajili Ulaya wamgusa mshambuliaji wa Tanzania Shaaban Chilunda wa kwanza kulia. Nyota wa zamani wa klabu ya Azam FC anayekipiga nchini Hispania katika klabu ya CD Tenerife Shaaban Idd Chilunda, ametolewa kwa mkopo kwenda klabu ya CD Izarra ya nchini humo. Read more about Usajili Ulaya wamgusa mshambuliaji wa Tanzania