Jinsi shambulizi la Kenya lilivyoigusa Tanzania
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli wameoneshwa kuguswa na tukio la shambulizi eneo la ofisi la 14 Riveside Jijini Nairobi Kenya ambalo lilipelekea watu 14 kufariki duniani kwenye tukio hilo.