Maadhimisho mengine ya kitaifa yafutwa

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yusuf Masauni.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yusuf Masauni amesema Baraza la Taifa la Usalama Barabarani limeifuta wiki ya nenda kwa usalama barabarani iliyokuwa ikifanyika kila mwaka kwa madai imekuwa ikitumia gharama kubwa huku ajali zikiendelea kuwepo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS