Azam FC yaizima Simba, yatwaa jumla Mapinduzi Cup Azam FC baada ya kukabidhiwa kombe lao. Mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi kati ya Azam FC na Simba SC umemalizika kwa wekundu wa Msimbazi, Simba SC kukubali kichapo cha mabao 2-1 katika Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba. Read more about Azam FC yaizima Simba, yatwaa jumla Mapinduzi Cup