Mahakama yawafutia kesi Kitilya na wenzake

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewafutia mashtaka aliyekuwa Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA), Harry Kitillya, maofisa wawili wa benki ya Stanbic, Shose Sinare na Sioi Solomon, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kueleza mahakama hiyo kuwa hana nia ya kuendelea na shauri lao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS