Rais Magufuli adai kumuweka kiporo DC Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli Rais John Magufuli ameweka wazi kwamba amewaweka kiporo Mkuu wa Wilaya ya Gairo na Mkurugenzi wake kutokana na matendo yao ya kugombana badala ya kufanya kazi hivyo wasifikiri kwamba hafahamu. Read more about Rais Magufuli adai kumuweka kiporo DC