Sababu ya Haruna Niyonzima kufeli ndani ya Simba
Uhamisho wa mchezaji kutoka timu pinzani kwenda nyingine huwa una athari nyingi ikiwemo kutokukubalika au kuaminiwa na timu mpya hali ambayo hupelekea mchezaji husika kutopewa nafasi kwenye kikosi cha kwanza, lakini kwa Niyonzima hali imekuwa tofauti.