"Mkituheshimu sana tutakufa" - Waziri

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi, na Mawasiliano, Injinia Isack Kamwelwe.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi, na Mawasiliano, Injinia Isack Kamwelwe amewataka Askari wa Usalama Barabarani kufuatilia utekelezaji wa masuala ya sheria hata katika vyombo vya usafiri vya serikali ili kuhakikisha inapunguza ajali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS