Polepole azungumzia 'kumpongeza' Zitto Kabwe

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amekosoa maandamano mbalimbali ambayo yamekuwa yakilenga kuwapongeza baadhi ya viongozi wa nchi kwa kile alichokidai kuwa huenda yakaleta machafuko kwa baadhi ya waandamanaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS