Waziri Mkuu aibana kampuni inayodaiwa bil 2.9

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameziagiza kampuni zote zinazosambaza nguzo za umeme kulipa ushuru wa halmashauri wanakotoa nguzo hizo amboa ni asilimia tano ya gharama ya kila nguzo kama ilivyoelekezwa na Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS