'Udhaifu' wa Bunge wamponza CAG na Mdee

Kushoto ni CAG Prof. Mussa Assad, kulia ni Mbunge wa Kawe Halima Mdee

Spika wa Bunge Job Ndugai (Mb) amemtaka  Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Prof. Mussa Assad  na  Mbunge wa Kawe Mhe. Halima Mdee kufika  mbele ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujieleza kufuatia kauli za kudhalilisha Bunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS