Marekani yamkalia kooni R. Kelly

Msanii nguli wa muziki wa Marekani, Robert Kelly maarufu kama R. Kely, amekuwa kwenye wakati mgumu baada ya filamu inayoelezea maisha yake kuanza kurushwa hewani, huku ikionesha ukatili wa kingono aliokuwa akiwafanyia mabinti wadogo na baadhi ya wafanyakazi wa kike.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS