Bodi ya Wakurugenzi Simba yampa jambo Manara

Viongozi wa Simba wakiwa kwenye kikao cha Bodi ya wakurugenzi wa timu hiyo.

Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara amepongezwa na Bodi ya klabu hiyo kwa kazi nzuri ya kuitangaza klabu anayoifanya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS