Lissu aipambania ahadi ya Ndugai

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu.

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu amemlalamikia Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kwa kushindwa kutimiza ahadi yake ya kwenda kumuona hospitalini kama alivyoahidi kwenye moja ya chombo cha habari nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS