Yanga yamjibu Manara kwa ripoti ya Novemba Dismas Ten na Haji Manara Klabu ya soka ya Yanga imetoa jibu kwa msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara, aliyehoji juu ya utaratibu wa kuchangisha fedha kwa wanachama wake kama ni halali na unakatwa malipo ya kodi kwa serikali. Read more about Yanga yamjibu Manara kwa ripoti ya Novemba