Kesi ya Mbowe na wenzake yapigwa kalenda

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe.

Upande wa mashtaka katika kesi inayowakabili viongozi tisa wa chama kikuu cha upinzani nchini Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe umedai unasubiri uamuzi ya Mahakama ya Rufaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS