Polisi yakanusha mtoto kuwekwa Kabatini
Wakati binti wa kazi akieleza jinsi mwanaye mwenye umri wa miezi mitano alivyofungiwa kabatini na mwajiri wake mkoani Dodoma tangu alipozaliwa, Jeshi la Polisi mkoani humo limekanusha madai ya mtoto huyo kufungiwa kabatini, na kusema kuwa mtuhumiwa wanamshikilia kwa usalama wake,