Utata waibuka gari la Mbunge wa CCM lililokamatwa

Mbunge wa Jimbo la Kibiti, kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Ally Ungando

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es salaam Lazaro Mambosasa, amesema hana taarifa yoyote ya kukamatwa kwa gari ya Mbunge wa Jimbo la Kibiti, kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Ally Ungando ambaye taarifa za kukamatwa kwa gari yake zilianza kusambaa leo kupitia mitandao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS