Simba yatofautiana na Yanga, yaonesha utii

Kocha wa Simba Patrick Aussems

Licha ya kukabiliwa na mechi ya klabu bingwa Afrika hatua ya makundi klabu ya Simba, imesema itasafiri siku ya Jumatano ya tarehe 2.01.2019,  kuelekea visiwani Zanzibar kwa ajili ya kushiriki mashindano ya kombe la Mapinduzi yanayotarajiwa kuanza hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS