Waziri amtaja Samatta, Flaviana ateuliwa

Pichani, Nahodha wa Taifa Stars anayecheza Klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta, Kulia ni mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla, amebainisha kwamba ili kukuza utalii tayari ameanza mazungumzo na klabu ya KRC Genk anakocheza mtanzania Mbwana Ally Samatta ili kuweza kutangaza utalii nchini Ubelgiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS