Rasmi Ibrahim Ajibu apewa uongozi Yanga Ibrahim Ajibu Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera amefanya mabadiliko ya uongozi kwenye kikosi chake kwa kumvua kitambaa cha unahodha mlinzi Kelvin Yondani na kumkabidhi mshambuliaji Ibrahim Ajibu. Read more about Rasmi Ibrahim Ajibu apewa uongozi Yanga