TFF yamkana Beno Kakolanya

Beno Kakolanya

Shirikisho la soka nchini (TFF), limesema taarifa zinazosambaa kuwa kamati ya hadhi za wachezaji ya TFF, imeidhinisha kuwa kipa wa Yanga Beno Kakolanya ni mchezaji huru kutokana na kuidai Yanga, si za kweli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS