Mkuu wa Wilaya ataka wabunge wa upinzani wajiuzulu
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA,(BAVICHA) ambaye sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amewataka wabunge wa vyama vya upinzani nchini kuachia ngazi nafasi zao za ubunge, kwa kile alichokidai kuwa wamekuwa wakilalamikia juu ya uhuru wa Tume ya Taifa ya