Hakuna kuwasha taa uwanja wa taifa Uwanja wa taifa Dar es salaam Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF limetoa taarifa kwa klabu zote za ligi kuu Tanzania bara kuwa mechi zote zitakazochezwa katika uwanja wa taifa zitachezwa saa saa 10 jioni. Read more about Hakuna kuwasha taa uwanja wa taifa