Simu yatumika kuendesha kesi ya Mbowe na Matiko

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe akiwa na Mbunge wa Tarime mjini Ester Matiko.

Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Sam Rumanyika, amelazimika kupiga simu akiwa ndani ya chumba cha  Mahakama na kuzungumza karani wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati wa kusikiliza rufaa ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS