Dodoma yaiburuza tena Dar es salaam

Sanamu ya Mwl. Nyerere Jijini Dodoma (kushoto) na majengo makubwa Jijini Dar es salaam (kulia)

Katika robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2018/19, Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeongoza katika ukusanyaji mapato ya ndani, ikiendelea kuliacha mbali Jiji la Dar es salaam na baadhi ya majiji mengine ya mwanzo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS