Tanzania mabingwa, Copa Dar es salaam 2018

Timu ya taifa ta soka la Ufukweni ya Tanzania ukishangilia ubingwa

Timu ya taifa ya soka la Ufukweni ya Tanzania imefanikiwa kushinda ubingwa wa Copa Dar es salaam kwa kuifunga timu ya taifa ya Uganda katika mchezo wa fainali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS