Mambo matatu anayoanza nayo Ninje TFF

Ammy Ninje

Mkurugenzi wa ufundi wa shirikisho la soka nchini (TFF),  Ammy Ninje amesema katika kuhakikisha soka la Tanzania linapiga hatua chini ya uongozi wake, ataanza na vipaumbele vitatu ambavyo ndio hitaji kubwa la taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS