Ajinyonga na shuka akidai mtoto Picha haihusiani na tukio. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mayunga Samwel mkazi wa Mtaa wa Mkudi Wilayani Ilemela Mkoani Mwanza amekutwa akiwa amejinyonga chumbani kwake kwa kutumia shuka. Read more about Ajinyonga na shuka akidai mtoto