Pichani gari lililopata ajali huku korosho zikiwa zimemwagika chini.
Gari la Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ambalo lilikuwa limebeba tani 15 za korosho kutokea wilayani Tandahimba kuelekea Mtwara mjini limepata ajali na kusababisha korosho zote kumwagika barabarani.