Kauli ya Waitara kuhusu Mkuu wa mkoa kufuta likizo

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, Mwita Waitara kushoto na Mkuu wa mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi.

Baada ya hivi karibuni Mkuu wa mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi kufuta likizo kwa baadhgi wa watumishi wa idara zinazohusika na ujenzi wa madarasa mkoani humo, Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, Mwita Waitara amesema ni sahihi likizo kuahirishwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS