Alichokisema Ambokile, kuhusu usajili Yanga Mshambuliaji wa Mbeya City, Eliud Ambokile Baada ya tetesi za Yanga kutaka kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Mbeya City, Eliud Ambokile, mwenyewe ameibuka na kuwajibu mabingwa hao mara 27 wa ligi kuu Tanzania bara. Read more about Alichokisema Ambokile, kuhusu usajili Yanga