Ndugai afunguka kuwachongea mawaziri wa Magufuli

Spika wa Bunge, Job Ndugai.

Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema lengo la kuwataja Mawaziri na Wabunge ambao wana mahudhurio hafifu ndani ya Bunge haikuwa kuwachongea kwa viongozi wa vyama vyao bali ni kuwataka wabunge hao kutimiza wajibu wao wa kuingia bungeni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS