Wema Sepetu apandishwa kizimbani

Msanii Wema Sepetu, akiwa na mama yake mzazi Mariam Sepetu.

Msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu leo amefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusikiliza kesi inayomkabili ambapo anashtakiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa tuhuma za kuchapisha na kusambaza video za maudhui ya ngono mitandaoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS