"Wanaume ni wachoyo"- DC Jokate

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo.

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo amewataka wanawake wasiogope kuitwa 'wana kimbelembele' kutokana na kuchangamkia fursa, huku akisema kuwa wanaume ni wachoyo na wengine wanaogopa nguvu ya wanawake katika maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS