"Hatakaa asahau maisha yake yote" - Polisi

Mkuu wa Operesheni Maalum za Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi DCP Liberatus Sabas.

Jeshi la Polisi nchini, limetangaza kuanza kwa Operesheni kali ya kuwasaka watu wote wanaojihusisha na wizi wa mafuta katika mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) unaoendelea kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS