Mwakyembe azungumzia “kuzitapika” mil 50 za Rais
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyemba amesema akifika Tanzania atamueleza Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kuwa kilichotokea kwenye mchezo dhidi ya Lesotho kuwa ni bahati mbaya na kumuahidi kuwa kwenye mechi dhidi ya Uganda Taifa Stars