Mwakyembe azungumzia “kuzitapika” mil 50 za Rais

Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe na Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyemba amesema akifika Tanzania atamueleza Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kuwa kilichotokea kwenye mchezo dhidi ya Lesotho kuwa ni bahati mbaya na kumuahidi kuwa kwenye mechi dhidi ya Uganda Taifa Stars

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS