Tanzania U23 yajigamba kuondoa aibu ya Stars

Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya miaka 23.

Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya miaka 23 'Kilimanjaro Warriors' imejipanga vizuri kuelekea mchezo wao wa marudio kuwania kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika dhidi ya Burundi hapo kesho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS