Mwana Fa, Samatta, Flaviana Matata waipa dua Stars
Kushoto ni Msanii wa Hiphop Mwana FA, katikati ni mwanamitindo Flaviana Matata na kulia ni Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta.
Watanzania pande zote duniani, leo wameungana katika kuiombea dua timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' katika mchezo wake wa kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika dhidi ya Lesotho hii leo.