BOT yafunguka kufunga maduka ya pesa za kigeni
Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga amesema kuwa taasisi hiyo imeanzisha operesheni maalum ya ukaguzi na udhibiti wa uendeshaji biashara ya fedha jijini Arusha, na hii ni baada ya ukimya tangu jana baada ya kutokea sintofahamu katika biashara ya maduka ya kubadilishia