Kanye West agundua nyumba isiyoshika moto

Moja kati ya nyumba zilizowaka moto nchini Marekani kati mji wa California

Rapper Kanye West ‘Ye’ amekuja na mpango wa kujenga nyumba ambayo haitashika moto, baada ya tukio la nyumba yake yenye thamani zaidi ya shillingi Billioni 100 za Kitanzania kuwa miongoni mwa nyumba zilizoungua moto siku kadhaa zilizopita  Mjini California Marekani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS