Meya CHADEMA azikataa milioni 200 za CCM
Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini Alex Kimbe, amefunguka kuwa amekuwa akijikuta na kesi mbalimbali mahakamani kwa kile alichokidai kuwa ni hujuma anazofanyiwa na Chama Cha Mapinduzi, kwa kuwa amekataa kuhamia ndani ya chama hicho.