Pogba na Messi wakutana, nani kuhama timu ?

Messi na Pogba wakiwa kwenye Mgahawa mmoja huko Dubai

Kiungo wa Manchester United, Paul Pogba amekutana na nyota wa Barcelona Lionel Messi huko Dubai ambapo wawili hao walionekana kuwa na mazungumzo ya muda mrefu kitu ambacho kimezua mjadala kuwa huenda mmoja wao anamshawishi mwenzake kuhama timu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS