''Mkutano wa Yanga hauna mamlaka'' - TFF

Mashabiki wa Yanga wakiwa makao makuu ya klabu hiyo,.

Shirikisho la soka nchini (TFF) kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati ya Uchaguzi, Malangwe Mchungahela imesema kwamba haimtambui Yussuf Manji kama  Mwenyekiti wa Yanga kwani katiba ya timu hiyo hairuhusu mkutano mkuu kumrejesha mwenyekiti aliyejiuzulu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS