''Mkutano wa Yanga hauna mamlaka'' - TFF
Shirikisho la soka nchini (TFF) kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati ya Uchaguzi, Malangwe Mchungahela imesema kwamba haimtambui Yussuf Manji kama Mwenyekiti wa Yanga kwani katiba ya timu hiyo hairuhusu mkutano mkuu kumrejesha mwenyekiti aliyejiuzulu.