Mawaziri waliotumbuliwa walivyowabana Mawaziri
Siku chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kutengua uteuzi wa waliokuwa mawaziri wa Viwanda na Uwekezaji Charles Mwijage pamoja na aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Charles Mwijage wawili hao waliibuka bungeni wiki hii.