Azam FC yaomba kuzihamisha Simba na Yanga
Klabu ya soka ya Azam FC imeliandikia barua shirikisho la soka nchini (TFF) na Bodi ya ligi (TPLB), kuomba kuhamishia mechi zake za ligi kuu soka Tanzania bara zinazohusu Yanga na Simba katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.